Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mfaume kuwania mkanda wa WBF Afrika kesho

Alhamisi , 30th Jun , 2022

Bondia mtanzania Mfaume Mfaume atapanda ulingoni kesho kwa mara ya kwanza baada ya miaka miwili kuwania ubingwa wa WBF Afrika uzito wa Welterwight dhidi ya Bondia kutoka Misri Abdulmonem Said. Pambano litakalofanyika ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es salaam kuanzia majira ya Saa 12 jioni.

Mfaume Mfaume anapanda ulingoni kwa mara ya kwanza baada ya miaka 2

Mfaume Mfaume amesema amejiandaa vizuri kuelekea Pambano hili na amewaahidi watanzania kupata ushindi hapo kesho kutoka na maandalizi mazuri aliyoyafanya.

“Nimepata maandalizi ya muda mrefu kwa hiyo watanzania watarajie kuona ngumi Biriani kesho kwa uwezo wa Mungu watanzania watafurahi, kwa sababu ushindi wa Mfaume Mfaume ni ushindi wa Tanzania” Ameseme Mfaume

Kabla ya pambano hili yatafanyika mapambano mengine saba ya utangulizi ambapo Mwana dada Stumai Muki atacheza dhidi ya Chimwemwe Banda wa Malawi, Laurent Segu ataminyana na Thomas Mahaule, Pius Mpenda atazichana na George Dimoso, Issa Nampepeche dhidi ya Juma Choki, Oscar Richard anacheza na Bongani Makovora kutoka Zimbabwe, Hamisi Maya atanyukana na Murdochee Katembo wa Congo na Ibrahim Class atazichapa na Peter Pambeni wa Zimbabwe.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava