Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Miaka 36 ya Ronaldo, makali ya miaka 12 iliyopita

Jumatano , 3rd Mar , 2021

Nyota wa klabu ya Juventus ya Italia pamoja na timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo ameendelea kuweka rekodi mbalimbali kwenye soka ambapo usiku wa kuamkia leo Machi 3, 2021, amefikisha mechi 600 za ligi ngazi ya klabu.

Ronaldo akipiga mpira mbele ya wachezaji wa Spezia

Ronaldo amefikia idadi hiyo ya michezo wakati timu yake ya Juventus ilipocheza na Spezia kwenye ligi kuu nchini Italia maarufu Serie A, ambapo Juventus imeibuka na ushindi wa magoli 3-0.

Katika ushindi huo wa magoli 3-0, Cristiano Ronaldo amefunga goli moja na kuweka rekodi nyingine ya kufikisha magoli 20 ya ligi katika misimu 12 mfululizo.

Kwa idadi hiyo sasa, Ronaldo ndio mchezaji wa kwanza kufikisha idadi ya magoli 20 ya ligi kwa misimu 12 mfululizo. Ikikumbwe Ronalfo amewahi kucheza ligi tofauti tofauti ikiwepo ya Ureno, England, Hispania na sasa Italia.

Magoli mengine ya Juventus yamefungwa na Alvaro Morata pamoja na Federico Chiesa. Juventus sasa ipo nafasi ya 3 ikiwa na pointi 49, nyuma ya vinara Inter Milan wenye pointi 56 na AC Milan wanaoshika nafasi ya pili wakiwa na pointi 52.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava