Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Michuano ya FEASA yasimamisha Rollball Afrika

Jumatatu , 18th Aug , 2014

Baada ya kuingiliana kwa ratiba ya kuutumia uwanja wa ndani wa taifa jijini Dar es salaam kwa michuano ya Afrika ya mchezo wa Rollball na ile ya shule za sekondari kwa nchi za Afrika Mashariki sasa Rollball yasalim amri nakuahirisha michuano yao

Wachezaji wa timu ya Tanzania [Tiger Rollball Club] wakiwa katika mazoezi ya kujiandaa na michuano ya Afrika.

Ambapo chama cha mchezo wa Rollball Tanzania TRBA kimesogeza mbele michuano ya mchezo huo kwa nchi za Afrika ambayo ilikuwa ianze August 26 mwaka huu jijini Dar es salaam

Rais wa TRBA Noel Kihunsi amesema sababu kubwa ya kusogeza mbele michuano hiyo ni kutokana na ratiba hasa tarehe ya kutumia uwanja wa ndani wa taifa kuingiliana na ratiba ya michezo ya shule za sekondari kwa nchi za Afrka Masharik FEASA

Kihunsi amesema wameamua kusogeza mbele michuano yao kwa kuzingatia hasa kuwa uwanja wa ndani wa taifa kwa wao watautumia kwa mchezo mmoja huku FEASA wakitumia uwanja huo kwa michezo takribani 4 hivyo ni bora kuahirisha shindano la mchezo mmoja kuliko kuahirisha shindano la michezo mingi

Aidha Kihunsi amesema wamejadiliana na TAMISEMI kuhusu suala hilo na kukubaliana kusogeza mbele na wametuma taarifa juu ya suala hilo kwa chama cha Rollball Afrika ili watoe baraka zao kwa ajili ya tarehe mpya ya mashindano hayo ambayo wao wamependekeza yafanyike tena mwezi wa kumi.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto