Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Mimi ni shabiki ila sio mwanachama' - Machari

Jumapili , 10th Nov , 2019

Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu Moses Machari, ameikaribisha klabu ya Yanga Wilayani kwake ambayo imeenda huko baada ya kushinda mchezo wake wa Ligi kuu dhidi ya Ndanda FC Ijumaa iliyopita.

Wachezaji wa Yanga na Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu

“Tumefurahi sana kwa ujio wenu, mnadhihirisha kwa vitendo kuwa hii ni timu ya Wananchi, Karibuni sana Wilayani Nanyumbu.” Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu, Moses Machari.

Aidha Mkuu huyo wa Wilaya amekiri kuwa yeye ni shabiki Mkubwa wa Yanga tangu akiwa mdogo ila sio mwanachama lakini kama wanataka kumpa kadi wanaweza kufanya hivyo.

Pia amewasifu Yanga na kuweka wazi kuwa wao kama Wilaya ya Nanyumbu ni sehemu ya Tanzania na wanapenda wageni watembelee huko hivyo ujio wa Yanga wameupokea kwa furaha.
 

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji