Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mkuu wa mkoa awakomalia RPC Pwani na Morogoro

Jumanne , 11th Dec , 2018

Mkuu wa mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo amesema kuwa amethibitishiwa na makamanda wa polisi wa mikoa ya Pwani na Morogoro pamoja na kamanda wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) kuwa wizi wa vifaa kwenye ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) wataudhibiti.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani (katikati) aliyevaa Glovu.

Akiongea leo mkoani Pwani Mhandisi Ndikilo ameataka makanda hao wahakikishe vifaa haviibiwi kwani mradi huo ni muhimu kwa taifa hivyo lazima ulindwe kwa nguvu yoyote na vyombo dola.

''Hatuwezi kuvumilia kuona vifaa kama Saruji, Nondo na Mafuta ya dizeli, vikiendelea kuibiwa kwenye ujenzi wa mradi wakati vyombo vya usalama vipo ni lazima tuhakikishe vifaa viko salama'', amesema Ndikilo.

Naye Kamanda wa Polisi Mkoa Pwani, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Wankyo Nyigesa kwa kushirikiana na mwenzake wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa amesema watahakikisha wizi katika maeneo ya Soga, Ngerengere na Morogoro unadhibitiwa.

''Tumeshaanza zoezi la kukamata wezi wa vifaa na tunaendelea hivyo kwa wale ambao hawataki wataendelea kuishia jela'', amesema RPC Wankyo Nyigesa.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu