Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mo ataja mwezi wa kukamilisha uwanja wa Simba

Ijumaa , 5th Apr , 2019

Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Simba, Mohammed Dewji ametoa ahadi kuwa hatua ya mwanzo ya ujenzi wa uwanja wa klabu hiyo huko Bunju utakamilika mwezi Mei.

Mo Dewji

Akizungumza katika mkutano wake na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo April 5, Dewji amesema kuwa kuchelewa kukamilika kwa zoezi la uwekaji nyasi kwenye uwanja huo ambalo awali lilikuwa likamilike mwezi Februari kulitokana na klabu hiyo kutozipata nyasi zake bandia kwa wakati kutokana na masuala ya kisheria. 

"Pia nataka nigusie suala la uwanja wetu wa Bunju. Mungu amesaidia nyasi zetu zimeshatoka na tumeshamalizana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) pamoja na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ambao walizishikilia

Tunangoja hizi mvua zipite na baada ya wiki kama mbili hivi tuendelee na ujenzi na Mungu akipenda, Mwezi wa tano tutaanza kutumia uwanja wetu," amesema Dewji. 

Dewji amesema kuwekwa kwa nyasi bandia hakumaanishi kama ndio kutakuwa ukomo wa ujenzi wa uwanja huo bali kutafuatiwa na ujenzi wa hosteli na miundombinu mingine kama kumbi za mikutano, mazoezi na mapumziko

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali