Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mo awashikia bango mashabiki wa Simba

Alhamisi , 14th Mar , 2019

Wakati Simba ikijiandaa na mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi Klabu Bingwa Afrika wikiendi hii, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu hiyo, Mohamed Dewji 'Mo' amezidi kuwajaza mashabiki ili kuisapoti timu yao.

Mo Dewji pamoja na mashabiki wa Simba wakiwa uwanjani

Mchezo huo kati ya Simba na AS Vita Club ya DR Congo unatarajia kupigwa Februari 16 katika Uwanja wa Taifa majira ya saa 1:00 usiku ikiwa ni wiki moja baada ya kutoka kufungwa mabao 2-0 dhidi ya JS Saoura nchini Algeria.

Katika ukurasa wake wa Instagram, Mo ameweka video iliyoambatana na ujumbe unaowataka mashabiki wa Simba kujitokeza kwa wingi kuishangilia timu yao huku akisisitiza kuwa naye ataungana nao uwanjani.

 

Katika msimamo wa kundi lake, Simba inakamata nafasi ya mwisho ikiwa na pointi 6 baada ya michezo mitano mpaka sasa. Nafasi ya kwanza ikishikiliwa na JS Saoura yenye pointi 8 huku Al Ahly na AS Vita Club zikiwa katika nafasi ya pili na ya tatu.

Mchezo wa Klabu Bingwa Afrika kati ya Simba na JS Saoura

Kwa nafasi ilivyo sasa, kila timu inayo nafasi ya kufuzu hatua ya robo fainali ya michuano hiyo endapo itafanikiwa kupata ushindi katika mchezo wake wikiendi hii. Ukiachana na mchezo wa Simba na AS Vita Club, pia mchezo mwingine utapigwa nchini Misri ambapo Al Ahly itapambana na JS Saoura kutafuta nafasi hiyo.

Bonyeza hapa chini kutazama zaidi.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava