Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mo Dewji ajitolea Simba, Mwakyemba afafanua

Jumatatu , 5th Aug , 2019

Menyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu ya Simba Mohammed Dewji, amesema kuwa ujenzi wa uwanja wa Bunju katika awamu ya kwanza, atagharamikia yeye mwenyewe.

Waziri Mwakyembe akipeana mkono na Mohammed Dewji baada ya kuweka jiwe la msingi.

Mo Dewji amebainisha hilo leo wakati wa uwekaji jiwe la Msingi katika ujenzi huo, ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe.

''Mimi kama mwanachama na shabiki wa Simba nimeamua kutoa pesa zangu mfukoni kwaajili ya ujenzi wa awamu ya kwanza ya Bunju Complex, na hizi hazihusiani na zile tulizokubaliana kwenye uwekezaji'', amesema Mo Dewji.

Kwa upande wake Dkt. Harrison Mwakyembe amesema kuwa wanasimba na vilabu vingine wanatakiwa kuendelea na zoezi la uwekezaji huku kanuni zikiendelea kuandaliwa na hakuna atakayekiuka.

''Timu ya Simba SC waliniomba waendelee nikawakubalia wakati ambao tunatengeneza kanuni na niwahakikishie zitafuatwa na zisitumike kuharibu hamasa, hata kwenye timu zingine karibuni muwekeze'', ameeleza Mwakyembe.

Aidha amewataka wanasimba kuwaunga mkono viongozi wao pamoja na juhudi zote za ujenzi wa uwanja wa Bunju Complex hata kama hawana pesa za kutosha wanaweza kujitolea kwa kazi zinazohitaji nguvu ili kukamilisha jambo hilo la kihistoria.

 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto