Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msemaji wa mashindano aeleza maandalizi ya fainali

Jumanne , 1st Oct , 2019

Msemaji wa michuano ya Sprite Bball Kings 2019, Goza Chuma ameelezea maandalizi yanayoendelea kuelekea fainali ya michuano hiyo kati ya wababe Tamaduni na Mchenga Bball Stars.

Msemaji wa michuano ya Sprite Bball Kings 2019, Goza Chuma

Ikiwa ni siku tatu zimebaki kabla ya mchezo wa kwanza kupigwa katika Uwanja wa Don Bosco Oysterbay, Ijumaa hii ya Oktoba 4, Goza Chuma amesema kuwa maandalizi yote yamekamilika, huku akiahidi kuwa 'surprise' mbalimbali zitakuwepo.

"Mpira wa kikapu hauna sare, ni lazima mshindi apatikane na ukija Ijumaa hii katika Uwanja wa Don Bosco Oysterbay, mshindi lazima apatikane kati ya Tamaduni na Mchenga. Lakini kutakuwa na wageni rasmi wazito tena sio mmoja ambao wameamua kuunga mkono kuwaangalia vijana", amesema Goza.

Fainali inatarajia kuwa na jumla ya michezo mitano, ambapo mchezo wa kwanza utapigwa Ijumaa, Oktoba 4, mchezo wa pili Oktoba 6 na mchezo wa tatu ukitarajia kupigwa Oktoba 8.

Mtazame hapa chini akielezea zaidi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava