Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mshambuliaji anayewatesa Messi na Ronaldo.

Jumanne , 16th Oct , 2018

Huenda usilifahamu kabisa jina la mshambuliaji, Krzysztof Piatek ambaye hivi sasa anavitesa vilabu vingi barani Ulaya kutokana na uwezo wake wa kufumania nyavu katika klabu yake.

Krzystof Piatek

Mshambuliaji huyo raia wa Poland anachezea katika klabu ya Genoa inayoshiriki ligi kuu ya nchini Italia ‘Serie A’. Mpaka sasa ameshafunga mabao 13 katika mashindano yote ndani ya klabu yake msmu huu na kuwawashia taa ya kijani nyota wa dunia Cristiano Ronaldo na Lionel Messi.

Piatek (23) mpaka sasa anaongoza katika listi ya wafungaji bora wa ligi mbalimbali barani Ulaya hasa ligi kubwa tano za bara hilo, akiwa ameshafunga mabao 9 akifuatiwa na Kylian Mbappe wa PSG  pamoja na Cristian Stuani wa Girona.

Kutokana na uwezo anaouonesha mpaka sasa katika ligi kuu nchini Italia, timu kadhaa barani Ulaya tayari zimeshaonesha nia ya wazi ya kutaka kumsajili mchezaji huyo ikiwemo, Fc Barcelona, Borusia Dortmund, Bayern Munich na Chelsea.

Msimu uliopita nyota wa Barcelona Lionel Messi na wa Juventus, Cristiano Ronaldo walipewa upinzani mkali katika kuwania kiatu cha dhahabu cha ufungaji bora wa ligi za ulaya na Mohamed Salah wa Liverpool, mbio ambazo Lionel Messi alishinda kwa mabao yake 34.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava