Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtanzania kuchezesha AFCON ya vijana

Jumanne , 18th Apr , 2017

Mwamuzi Mtanzania Frank John Komba ni miongoni mwa waamuzi walioorodheshwa kuchezesha michuano ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17 (U-17 Africa Cup of Nations), michuano ambayo imepangwa kufanyika nchini Gabon.

Komba yupo kwenye orodha ya waamuzi wasaidizi (Assistant Referees au washika kibendera) na ni mwamuzi pekee kutoka Tanzania aliyepata fursa hiyo.

Komba anaungana na waamuzi wengine wawili kutoka ukanda wa Afrika Mashariki Pacifique Ndabihawenimana (mwamuzi wa kati kutoka Burundi) na Davies Ogenche Omweno (mwamuzi wa kati kutoka Kenya).

Hii ni habari njema kwa soka la Tanzania ambapo wadau wamekuwa wakipaza sauti zao kutaka wachezaji wa Tanzania kujituma ili kupata fursa ya kucheza nje lakini pia wamekuwa wakihoji kwa nini makocha wengi wazawa hawapati nafasi za kufundisha timu nje ya nchi hali kadhalika kwa waamuzi wa nyumbani wamekuwa hawapati mechi za kutosha za kimataifa licha ya kuwa na beji za FIFA.

Timu ya taifa ya vijana ya Tanzania ‘Serengeti Boys’ ni miongoni mwa timu ambazo zitashiriki katika michuano hiyo ambayo inatarajia kuanza Mei 14 mwaka huu.

Hii ndiyo orodha ya waamuzi

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava