Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtibwa yabariki rasmi Shiza kichuya kutua Simba

Jumamosi , 9th Jul , 2016

Hatimaye baada ya kubana kwa muda mrefu usajili wa mshambuliaji mwenye kasi Shiza Kichuya uongozi wa mabingwa wa zamani wa soka Tanzania bara misimu miwili ya mwaka 1999 na 2000 timu ya Mtibwa ya Morogoro wamemruhusu kinda huyo kutua Simba msimu huu

kiungo wa mshambuliaji wa pembeni wa Mtibwa Shizza Ramadhani Kichuya.

Unaweza kusema suala la usajili baina ya wekundu wa Msimbazi na kiungo wa mshambuliaji wa pembeni wa Mtibwa Shizza Ramadhani Kichuya liko safi kwa asilimia 99 mara baada ya pande zote mbili kuafikiana kufanya kazi pamoja kwa miaka miwili ijayo.

Shizza mwenyewe amesema baada ya viongozi wake kumpa baraka zote na ridhaa kufanya mazungumzo na Simba SC alifika jijini Dar es Salaam na kumalizana na timu hiyo rasmi na wakati wowote mchezaji huyo mwenye nguvu na kasi atamwaga wino na kujiunga na timu hiyo ambayo inataraji kuweka kambi mjini Morogoro kujiwinda na msimu mpya wa michuano ya Ligi Kuu na michuano mengine ijayo.

Kichuya awali alikuwa anasuasua kufanya maongezi ya moja kwa moja na timu ya Simba hasa kutokana na taratibu za mikataba kumbana ikumbukwe mchezaji huyo ambaye ni moja wa wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa ligi kuu msimu huu amebakiza mwaka mmoja katika Mkataba wake na Mtibwa, ambao ni mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara mara mbili mfululizo,msimu wa mwaka 1999 na 2000.

Aidha hii leo Julai 9 msemaji wa klabu ya Mtibwa Thobias Kifaru Lugalambwike ameithibitishia East Afrika Radio kuwa mchezaji Kichuya ni mali halali ya Simba na wao kama timu wameridhia mchezaji huyo kwenda kupata changamoto mpya hii ni baada ya mchezaji mwenyewe kuonyesha nia na hitaji la kutua katika klabu ya Simba.

Simba kwa sasa itakuwa chini ya mkufunzi mpya raia wa Cameroon Joseph Omog akisaidiwa na kocha Jackson Mayanja raia wa Uganda/

Na Kama mchezaji huyo atasaini Simba, basi atakuwa mchezaji wa tatu wa Mtibwa kuhamia Simba SC majira haya baada ya awali Simba kunasa saini ya viungo wa timu huyo Muzamil Yassin na Mohamed ‘Mo’ Ibrahim.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu