Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtuhumiwa wa mauaji ya Agnes Tirop akamatwa

Ijumaa , 15th Oct , 2021

Polisi nchini Kenya wamefanikiwa kumkamata Emmanuel Ritoch ambaye anayetuhumiwa kwa kesi ya mauaji ya mke wake ambaye alikuwa mwanariadha wa kimataifa nchini Kenya, Agnes Tirop kilichotokea Jumatano Oktoba 13, 2021.

Askari Mkuu wa kituo chas Polisi Changamwe, Tom Makori amethibitiha kukamatwa na kusekwa rumande kwa Emmanuel amliyekamatwa pwani ya Mombasa akijaribu kutokroka nchini Kenya.

Askari huyo amesema, “Mtuhumiwa amekamatwa leo na yupo rumande kwenye kituo cha Polisi cha Changamwe. Ninathibitisha kuwa tunamshikilia mtuhumiwa wetu na yupo ruamande” Amesema Makori.

Nae Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, George Kinoto amesema mtuhumiwa atafanyiwa mahojiano na kukutwa na mkono wa Sheria endapo akikutwa hatiani kwa kosa la mauaji ya mke wake Agnes Tirop aliyeacha simanzi kubwa.

Ikumbukwe kuwa, Askari Mkuu wa kituo cha Polisi Changamwe, Tom Makori alithibitisha kuwa siku ya Jumatano Oktoba 13, 2021 Agnes Tirop alikutwa amefariki nyumbani kwake maeneo ya Iten.

Polisi wakaendelea kwa kusema mwili wa marehemu ulikutwa ukiwa umetoka damu nyingi na kuonekana umechomwa na kitu chenye ncha kali shingoni na tumboni jambo ambalo linaaminika limechukua uhai wa Mwanariadha huyo.

Tirop alishika nafasi ya pili  mara mbili kwenye mashindano ya riadha ya Dunia na kushinda medali ya shaba mwaka 2017 na 2019 pamoja, kushika nafasi ya nne kwenye mbio za mita 5,000 Tokyo Olympic mwezi Agosti 2021 na kuweka rekodi ya Dunia ya kushiriki mbio za mita 10,000 nchini Ujerumani.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90