Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Muungano wa Chama, Tulia Ackson na Mwigulu Nchemba

Jumanne , 12th Feb , 2019

Kuelekea mchezo wa Simba leo dhidi ya Al Ahly ambao ni wa nne kwa kila timu katika kundi D ligi ya mabingwa Afrika, viongozi mbalimbali wameitakia heri Simba katika mchezo huo.

Kushoto ni Tulia Ackson na kulia ni Mwigulu Nchemba

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh Tulia Ackson ambaye pia alikuwa mgeni rasmi katika mchezo wa kwanza wa Simba katika kundi hilo dhidi ya JS Sauora ambapo Simba ilishinda 3-0, amesema timu hiyo ina kila sababu ya kushinda tena.

''Nguvu tunayo, uwezo tunao na nia tunayo. Leo tuna kila sababu ya ushindi. Kila la heri Simbasc Tanzania'' ameandika Tulia Ackson.

Kwa upande wake waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani na mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba, ameweka wazi kuwa anaungana na Simba kuhakikisha timu hiyo inaiwakilisha vizuri nchi na kushinda mchezo huo.

Kwa upande wa wachezaji wa Simba kiungo Clatous Chama amesema muungano na nguvu ya pamoja kutoka kwa wachezaji ndio huleta ushindi ndani ya Simba na anaamini hilo litatoekea leo.

Wakati huo mshambuliaji wa kikosi hicho Meddie Kagere amesema wamejiandaa vizuri kwa mchezo huo na wapo tayari kwa mapambano kuhakikisha wanashinda.

Mchezo huo unaanza saa 10:00 jioni kwenye uwanja wa taifa Dar es salaam.
 

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90