Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwakinyo akanusha pambano la Ujerumani

Jumanne , 18th Sep , 2018

Mwanamasumbwi Hassan Mwakinyo amekanusha taarifa za pambano lake lililotarajiwa kufanyika Ujerumani Oktoba 20, mwaka huu dhidi, ya Bondia Mjerumani Wanik Awdijan.

Mwanamasumbwi Hassan Mwakinyo.

Akiongea na www.eatv.tv Mwakinyo, (23) amesema haja saini mkataba wowote juu ya pambano hilo na hana taarifa zozote mpaka sasa, huku akidai kuwa hawezi kushiriki mchezo huo kutokana na kuto kulingana kwa viwango (rank) na bondia huyo ambaye hawezi kumuongezea nafasi yoyote kimataifa.

Mwakinyo amesema “ Mimi naomba niwaambie watu kuwa hilo pambano hakuna, sija saini mkataba ni tuhuma tu hizo, labda waniteke nikacheze nikiwa nimefungwa mikono lakini siwezi kwenda kucheza kwasababu sina taarifa nazo, na bondia huyo awezi kunipa credit yoyote ile sababu mtu mwenyewe sio wa rank yangu".

Kuhusiana na pambano dhidi ya May Weather, Mwakinyo amesema anaamini ipo siku ataweza kupambana na bondia huyo kwani anaweza kufika huko huku akiwataka Watanzania kutoa sapoti na kuacha kasumba ya kwamba May Weather anaweza kumpiga kila mtu.

Aidha Mwakinyo amesema mpaka sasa ana Promota mmoja tu ambaye ana haki ya kuzungumzia mapambano yake na ndiye aliyemtafutua pambano lake la uingereza ambaye ni Sheikh Ali Mwazoa, huku akikiri kuendelea na Mkalimani wake.

Pia amesema hawezi kuhamisha makazi yake kutoka Tanga na kuhamia Dar es salaam kutokana na uwepo wa ndugu na marafiki zake waliopo mkoani huko kwani hana nia ya kutengeneza marafiki wapya kwa sasa.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA