Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwakyembe amteua Mwana FA

Alhamisi , 18th Oct , 2018

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe leo ameteua wajumbe wapya watakaounda Bodi ya Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA).

Harrison Mwakyembe kushoto na Mwana FA kulia

Uteuzi huo ambao umeanza tangu Oktoba 5, 2018, umetangazwa leo ikiwa ni siku 17 zimepita tangu Rais Dkt. John Magufuli alipomteua Bw. Habbi Gunze kuwa Mwenyekiti wa baraza hilo.

Kwa mujibu wa Katiba, waziri wa Wizara hiyo ana dhamana na anawajibika kuteua wajumbe wa Bodi baada ya Rais kumteua Mwenyekiti wake, ambapo leo waziri Mwakyembe amefanya hivyo huku akiwajumuisha wasaani wawili kati ya wajumbe hao watano.

Wasanii walioteuliwa miongoni mwa wajumbe hao ni msanii wa HipHop Hamis Mwinjuma maarufu Mwana FA, pamoja na muigizaji Single Mtambalike maarufu kama Richie.

Aidha, wajumbe hao wataitumikia bodi hiyo kwa muda wa miaka mitatu. Maelezo zaidi ya uteuzi huo yapo kwenye taarifa hapo chini.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava