Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Mwali' awekwa hadharani BBall Kings

Jumatatu , 21st Aug , 2017

Ikiwa zimebaki siku kadhaa kuendelea kwa vita kali ya aina yake katika fainali za Sprite BBall Kings kati ya TMT dhidi ya Mchenga BBall Stars, EATV imeliweka hadharani kombe linalogombewa.

Vikombe vya washindi wa michuano ya Sprite BBall Kings.

EATV imechukua uamuzi huo baada ya kubaki mechi mbili kupatikana kwa mshindi wa michuano hiyo, japo mpaka sasa mashabiki wa timu ya Mchenga BBall Stars wamejiwekea matumaini ya kuchukua kikombe hicho katika 'game 4' inayotarajiwa kuchezwa Agosti 26 mwaka huu katika viunga vya Don Bosco Oysterbay 

TMT na Mchenga BBall Stars ni timu zilizoweza kuonyesha upinzani mkali tokea kuanza kwa michuano hii jambo ambalo huenda fainali hizi zikaendelea mpaka 'game 5' 

Kikombe atakachokabidhiwa mchezaji bora pamoja na kitita cha fedha taslimu Milioni 2.

Mechi hiyo ya game '4' siku ya Jumamosi Agosti  26 itarushwa mubashara kupitia tinga namba moja kwa vijana EATV pamoja na East Afrika Radio tokea viwanja vya Don Bosco Oysterbay.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto