Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwamaja-Juhudi za timu zitaisaida kupata ushindi

Jumatatu , 22nd Dec , 2014

Kocha wa Timu ya Tanzania Prisons, David Mwamaja amesema anaamini juhudi katika mazoezi pamoja na mechi za kirafiki walizocheza zitawasaidia kuweza kufanya vizuri katika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara unaotarajiwa kuanza Desemba 26.

Akizungumza na East Africa Radio, Mwamwaja amesema mchezo dhidi ya Coastal Union ni mgumu lakini anaamini wachezaji wake wataipatia timu hiyo pointi Tatu muhimu na kuweza kujiweka katika nafasi nzuri.

Mwamaja amesema kikosi chake kina majeruhi lakini kutokana na usajili alioufanya pamoja na benchi lake la ufundi atahakikisha anatumia wachezaji waliobakia ili kuweza kuipa timu mafanikio.

Mwamaja amesema usajili uliangalia maeneo muhimu yaliyokuwa yakihitaji msaada na alihakikisha anasajili kwa kuzingatia kiwango cha mchezaji suala linalozidi kumpa imani kuwa wachezaji hao watakuwa na manufaa kwa upande wa timu nzima.

HABARI ZAIDI

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava