Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwanyeto '' Ubingwa bado upo wazi kwao''

Ijumaa , 13th Mei , 2022

Nahodha wa Yanga, Bakari Nondo Mwamnyeto amesema bado ubingwa huko wazi kwao na nilichotokea kwenye mechi tatu mfululizo ni upepo tu ambao huvuma na kutulia.

Nahodha wa Yanga Baraka Mwamnyeto.

Maneno hayo yamesemwa na nahodha Mwanyeto kuwa wanakwenda Dodoma kuchukua pointi tatu ili kurudisha furaha kwa mashabiki wao.

"Tunahitaji kuondoa gundu la droo kwenye mechi tatu mfululizo, hivyo tunakwenda Dodoma na nguvu na ari mpya ya kupata matokeo mazuri," amesema Mwanyeto .

Kuhusu walichokiboresha kwenye kikosi chao baada ya sare mfululizo, Mwamnyeto amesema kilichotokea ni upepo tu wa mpira, wako vizuri na wanaamini watapata ushindi mnono kwenye mchezo huo.

"Katika maisha kuna wakati wa raha na shida, hata maandiko matakatifu yanatueleza hivyo, hivyo Yanga tulipitia kwenye raha, sasa ni wakati wa shida lakini naamini tutatoka hapa tulipo na kuwa kwenye raha zaidi siku si nyingi," amesema.

Kuhusu safari ya ubingwa, mchezaji huyo amesema bado ipo kwa Yanga kutokana na tofauti ya pointi walizonazo mpaka sasa dhidi ya Simba, ubora wa kikosi chao na hamasa ya timu msimu huu.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava