Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nafasi ya tatu yawapagawisha Kagera Sugar

Jumatatu , 22nd Mei , 2017

Uongozi wa Kagera Sugar umewashukuru mashabiki wa timu yao kwa kuwaonesha uzalendo wa hali ya juu katika kipindi chote walichopitia katika michuano hadi kuibuka washindi  wa tatu ligi kuu Tanzania Bara.

Kikosi cha Kagera Sugar mara baada ya kukabidhiwa medali za mshindi wa tatu

Kupitia ukurasa wao instagram, Kagera Sugar imesema kuwa bila ya mashabiki zao, wasingeweza kupata mafanikio waliyoyapata katika msimu huu katika soka.

"Special thanks' za dhati ziende kwa mashabiki wetu wakiongozwa na kikundi chetu cha uhamisishaji na ushangiliaji mmetoa sana mchango mkubwa kufanikisha mafanikio yetu msimu huu... Mmekuwa bega kwa bega na sisi kama timu kwa vipindi vyote vigumu na vile vya furaha tuliposhinda tulishangilia pamoja na tuliposhindwa tulihuzunika pamoja.....Tunzo yenu ya mchezaji bora wa mechi katika kila mchezo iliongeza na kutia chachu kwa kila mchezaji ndani ya kikosi ".Ilisema taarifa hiyo kutoka Kagera

Katika hatua nyingine, klabu hiyo iliwapongeza wachezaji wake Juma Kaseja kwa kuchaguliwa kuingia katika kinyang'anyiro cha kuwania tuzo ya kipa bora pamoja na Mbaraka Yusuph kuteuliwa kuwania tuzo ya mchezaji bora chipukizi katika ligi hiyo.

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali