Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

#AUDIO Nahodha Isihaka apiga goti

Ijumaa , 18th Aug , 2017

Nahodha wa timu ya TMT, Isihaka Masoud ameomba radhi kwa utovu wa nidhamu aliyoonyesha katika mechi ya 'game 1' ya fainali za Sprite BBall Kings na kudai kilichotokea siku hiyo hakikuwa dhumuni lake ila hasira ndizo zilizomponza.

Nahodha wa timu ya TMT, Isihaka Masoud.

Isihaka amesema hayo leo baada ya kupita siku chache tokea alipofanya kitendo cha utovu wa nidhamu kwa kuwa tuhumu waamuzi 'Official' wa mchezo kuwa wanawabeba timu ya Mchenga BBall Stars kwa kuwa wao walifungwa kwa pointi 101-71 wakati alipokuwa akifanyiwa mahojiano 'Live' kupitia EATV uwanjani hapo jambo ambalo ni kinyume na sheria na taratibu za mchezo huo.

"Nimejisikia vibaya mwenyewe kwa kitendo nilichokifanya siku hiyo mpaka nafika nyumbani, nikawa najiuliza ni mimi kweli nimeongea yale maneno je watu watanifikiliaje?. Lakini naomba msamaha kwa washabiki wangu wote wa TMT, uongozi wa EATV, East Africa Radio, kwa mdhamini wa mashindano haya Sprite, TBF pamoja na watu wote wanaopenda mpira wa kikapu", alisema Isihaka.

Pamoja na hayo, Isihaka amesema kwa sasa amejifunza ni wapi anapaswa apeleke malalamiko yake pindi yanapotokea awapo uwanjani.

TMT inatarajiwa kushuka dimbani kesho kuvaana na Mchenga BBall Stars katika mchezo wa tatu wa fainali za Sprite BBall Kings katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay Jijini Dar es Salaam majira ya saa tisa mchana kwa saa za Afrika Mashariki na Kati.

Msikilize hapa chini Nahodha wa TMT, Isihaka Masoud anavyoendelea kuongea zaidi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava