Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nditi afunguka kuhusu bao la Okwi

Jumatatu , 16th Oct , 2017

Nahodha wa klabu ya Mtibwa Sugar Shabaan Nditi amefunguka kuhusu bao la mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi kwenye mchezo wa jana kuwa liliiumiza timu nzima.

Nditi ameyasema hayo leo wakati timu yake ikijiandaa kurejea mkoani Morogoro baada ya jana kutoa sare dhidi ya Simba kwenye uwanja wa Uhuru Dar es salaam kwa bao la dakika za nyongeza ambalo amedai liliwaumiza timu nzima.

“Kila mtu aliumia kwasababu tulikuwa tumekaribia kushinda lakini dakika za mwisho Okwi akasawazisha, kiukweli hakuna lawama kwa yoyote ila tu Okwi alitumia akili nyingi kupiga mpira wa adhabu na kufunga, anastahili pongezi”, amesema Nditi.

Aidha Nditi amesema timu yake imejiandaa kwa mechi zote ili ipate ushindi na kujiweka vizuri kwenye mbio za ubingwa japo kuwa inatokea kuna mechi wanapata sare.

Mtibwa Sugar ambayo haijapoteza mechi hadi sasa inaondoka leo mchana jijini Dar es salaam kurejea Morogoro ambako itaendelea na maandalizi ya mchezo wa raundi ya 7 nyumbani dhidi ya Tanzania Prisons.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava