Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Nilikosea kumfananisha Gotze na Messi'' - Loew

Jumapili , 20th Mei , 2018

Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Ujerumani Joachim Loew amekiri alifanya makosa ya kumlinganisha mchezaji taifa hilo Mario Gotze na mshamuliaji wa timu ya Barcelona, Lionel Messi  ambaye ni raia wa Argentina. 

Kwa mujibu wa jarida la michezo la Tencent Sports, Kocha huyo amesema hayo leo Mei 20, 2018 wakati akielezea sababu ya kutomjumuisha Gotze katika kikosi ambacho kitaiwakilisha Ujerumani katika mashindano ya kombe la Dunia Nchini

Urusi, Juni 14, 2018 na kuongeza kuwa aliamua kumfananisha Gotze na Messi ili kumtia moyo mchezaji huyo
“Sikufikiria athari ambayo angeweza kuipata kabla ya kusema maneno yale kwa Gotze, nilifanya vile kwa lengo la kumtia moyo lakini ilikuwa ni makosa kutamka hadharani, miezi michache baadae kauli ile ilianza kumaathiri Gotze,  hajacheza vizuri msimu huu, sio “super Mario” ambae tulikua tunamfahamu siku zote” amesema Loew.

Loew ameongeza kuwa kauli yake ilimbebesha mzigo mkubwa mchezaji huyo na hivyo kuanza kanza kushuka kiwango ingawa anaamini Gotze ni mchezaji bora na ataweza kurudi katika kiwango chake baada ya majira ya kiaangazi.

Mario Gotze aliiwezesha timu ya Taifa ya Ujerumani kushinda kombe la Dunia baada ya kufunga goli pekee katika dakika za nyongeza dhidi ya Taifa la Argentina katika mashindano ya kombe la Dunia yaliyofanyika nchini Brazil mwaka 2014.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA