Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Niyonzima afunguka maumivu na alichoifanyia Simba

Jumanne , 19th Mar , 2019

Kiungo wa kimataifa wa Simba kutoka Rwanda, Haruna Niyonzima, ameweka wazi kuwa muda mfupi baada ya kuingia kwenye mchezo dhidi ya AS Vita, aliumia kifundo cha mguu lakini hakutaka kutoka wala kuwaangusha mashabiki.

Haruna Niyonzima (katikati)

Niyonzima ambaye alifanya kazi kubwa ya kusaidia kupatikana kwa bao la ushindi la Simba ambalo liliwapeleka robo fainali ya Ligi ya mabingwa Afrika, amesema siku zote alikuwa na ndoto hiyo hivyo hakutaka kuiacha.

''Niliumia lakini nikajiambia siruhusu hili linikwamishe, sikutaka kuwaangusha mashabiki na kocha kwa kuniamini ukizingatia nilifanya maandalizi ya muda mrefu kwaajili ya siku moja kufanya kitu kama hicho, hivyo nakiri Machi 16, 2019 ilikuwa siku yangu kubwa kwenye soka ngazi ya vilabu'', - Amesema Niyonzima.

Aidha amemshukuru kocha wake Patrick Aussems kwa kumwamini na kumpa dakika chache za kutimiza malengo yake. Niyonzima aliingia kipindi cha pili akichukua nafasi ya Emmanuel Okwi.

Niyonzima amemaliza kwa kusema kuwa baada ya kufika robo fainali sasa anaamini kuwa, wanayo nafasi ya kufika fainali na kikosi chao kinauwezo huo kwa kuzingatia wingi wa mashabiki walionao.

Simba imetinga hatua ya robo fainali Jumamosi Machi 16, 2019 baada ya kuifunga AS Vita mabao 2-1 na kufikisha alama 9 nyuma ya Al Ahly yenye pointi 10 kwenye kundi D. 

 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto