Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nyota wawili wa Azam FC wakosekana miezi miwili

Jumatatu , 15th Oct , 2018

Wachezaji wawili wa klabu ya soka ya Azam FC, kiungo Frank Domayo na mshambuliaji Paul Peter, watakosekana uwanjani kwa takribani miezi miwili, baada ya kugundulika kuwa na matatizo ya goti kila mmoja wakiumia kwa nyakati tofauti.

Wachezaji wa Azam FC.

Kwa mujibu wa msemaji wa klabu hiyo Jaffar Idd, nyota hao wawili watapata matibabu kwa njia tofauti baada ya kupata vipimo nchini Afrika ya kusini.

Jaffar amesema kwa mujibu wa madaktari, Paul Peter amelazimika kubaki nchini Afrika kusini kwaajili ya kufanyiwa upasuaji kutokana na tatizo lake kuwa kubwa na matibabu yake kuhitaji upasuaji tofauti na Domayo ambaye atatibiwa kawaida tu.

Frank Domayo kulia na Paul Peter kushoto.

''Domayo tumempokea jana Oktoba 15, 2018, kutoka Afrika Kusini na ambapo ripoti ya daktari inasema kuwa hatafanyiwa upasuaji na badala yake atatibiwa hapahapa nchini ila Peter atafanywa upasuaji'', amesema.

Jaffar ameongeza kuwa wanatambua mchango wa wachezaji hao ndani ya kikosi chao na wanawaombea wapone haraka ili warudi kwenye timu kwaajili ya kuendelea na majukumu yao.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava