Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nyundo zitakazoshusha daraja klabu msimu ujao

Jumanne , 24th Mar , 2020

Wakati huu shughuli za soka zikiwa zimesitishwa nchini Tanzania, Bodi ya Ligi (TPBL) imeendelea kutoa semina kwa klabu mbalimbali nchini juu ya majadiliano kuhusu suala la leseni za klabu.

Rais wa TFF, Wallace Karia na Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi, Almasi Kasongo

Katika ziara iliyofanyika mkoani Mbeya hivi karibuni, timu ya Bodi ya Ligi ikiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu, Almasi Kasongo ilikutana na klabu mbalimbali mkoani humo kwa ajili ya kujadiliana kwa pamoja kuhusu suala hilo.

Baada ya kikao hicho, Afisa Mtendaji Mkuu amesema kuanzia msimu ujao, timu zitakazoshindwa kufuata matakwa ya leseni za klabu, hazitapewa leseni ya kushiriki ligi yoyote nchini.

"Tumekaa na klabu mbalimbali hapa Mbeya na kujadiliana kuhusu matakwa wanayohitajika kuyafuata ili kupata leseni kwa mujibu wa FIFA", amesema Kasongo.

"Kuanzia msimu ujao klabu zinatakiwa kuwa na Mtendaji Mkuu, Bwana fedha mwenye taaluma, Afisa Habari mwenye sifa, Vilabu visidaiwe na wachezaji, Vilabu viwe na ofisi kamili, Kiwanja cha mazoezi na kingine na mechi, Afisa usalama atakayeshirikiana na Bodi ya Ligi na Afisa Masoko", ameongeza.

Pia Kasongo akasisitiza kuwa vigezo hivyo vinapaswa kufuatwa na klabu zote zilizo chini ya Bodi ya Ligi na kwamba klabu zitakazoshindwa kutimiza, hazitapewa leseni na kama hazitapewa leseni maana yake hazitakuwa na sifa ya kucheza ligi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava