Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Okwi awaaga mashabiki wa Simba, atoa ahadi

Jumatatu , 5th Aug , 2019

Mshambuliaji wa zamani wa Simba Emmanuel Okwi ambaye ni raia wa Uganda, ameiaga rasmi klabu ya soka ya Simba akiwa tayari kwenda kuanza maisha mapya ndani ya klabu ya Itthad Alex SC ya Misri na kuahidi timu hiyo itabaki moyoni mwake.

Emmanuel Okwi

Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, Okwi ameweka ujumbe wa kuwashukuru mashabiki kwa kumpenda na kumfanya ajisikie nyumbani kwa miaka yote ambayo amechezea klabu hiyo.

''Niwashukuru mashabiki kwa kila kitu ambacho mmenifanyia, mmekuwa watu wazuri sana kwangu, nawahakikishia kuwa upendo wenu kwangu nautambua'', ameandika Okwi.

Okwi ambaye ameichezea Simba tangu mwaka 2010, amelishukuru pia benchi la ufundi pamoja na viongozi wa Simba kwa ushirikiano ambao wamekuwa wakiwapa ili kufikia malengo yao binafsi na ya klabu.

''Ninawaahidi kuwa nakwenda Itthad Alex SC lakini Simba itabaki moyoni mwangu'', ameongeza.

Okwi ameichezea Simba kwa misimu isiyopungua 6 na kufunga magoli zaidi ya 70, huku akichukua makombe kadhaa ikiwemo Ligi kuu, Kombe la shirikisho nchini na mengine.

 

HABARI ZAIDI

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava