Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Okwi kuikosa Cape Verde leo, sababu yatajwa

Jumamosi , 17th Nov , 2018

Mshambuliaji wa kimataifa wa klabu ya soka ya Simba kutoka nchini Uganda, Emmanuel Okwi, leo hatakuwa sehemu ya mchezo wa 5 kundi L kuwania kufuzu fainali za AFCON 2019 dhidi ya Cape Verde.

Emmanuel Okwi akiwa mazoezini na wachezaji wenzake wa Uganda.

Okwi anakosa mchezo huo kwa kuwa anatumikia adhabu ya kukosa mchezo mmoja kutokana na kuwa na kadi mbili za njano, hivyo atakuwa jukwaani akiwatazama wenzake.

Okwi mpaka sasa ameifungia Uganda mabao 2 kwenye michuano hiyo ya kuwania kufuzu akiwa nyuma ya Farouk Miya ambaya ana mabao matatu, huku kwa pamoja wakiisaidia timu hiyo kuaongoza kundi hilo wakiwa na alama 10.

Uganda leo inahitaji alama 1 pekee ili kujihakikishia nafasi ya kufuzu fainali hizo. Mchezo huo utapigwa kuanzia saa 10:00 kwenye uwanja wa taifa wa Uganda maarufu kama Namboole.

Kundi L pia lina timu za Tanzania na Lesotho ambazo zinacheza kesho mjini Masero huko Lesotho ambapo Taifa Stars inahitaji ushindi ili kujiweka mahala pazuri kwenye mbio hizo za kwenda Cameroon.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava