Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ole Gunnar amchapa Sir Ferguson

Jumatatu , 8th Mar , 2021

Baada ya klabu ya Manchester United kuibuka na ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Manchester City jana Machi 7, 2021 kwenye dimba la Etihad, sasa Ole Gunnar Solskjær ameweka rekodi ambayo hata kocha wa heshima wa timu hiyo Sir Alex Ferguson hakuiweka.

Ole Gunnar Solskjær na Sir Alex Ferguson

Solskjær sasa ndio kocha wa kwanza katika historia ya Manchester United kushinda mechi zake tatu mfululizo za kwanza, akiwa kama kocha nyumbani kwa wapinzani wao Manchester City, uwanja wa Etihad. 

Si hilo tu lakini pia ushindi huo ambao magoli yake yalifungwa na Bruno Fernandes dakika ya 2 ya mchezo kwa mkwaju wa penati pamoja na Luke Show dakika ya 50, umemfanya Ole Gunnar kuwa kocha wa kwanza katika makocha 67 ambao Guardiola amekutana nao kumfunga mara 4 mhispania huyo, ikiwa ni mara nyingi zaidi kuliko alivyopoteza kwa makocha wengine.

Pep Guardiola (kushoto) na Ole Gunnar Solskjær

Pia Manchester City rekodi yao ya kutofungwa katika michezo 28 imekoma baada ya kipigo hicho. Ikumbukwe Manchester City walikuwa hawajafungwa kwenye michuano yote tangu Novemba 2020 walipopoteza 0-2 dhidi ya Tottenham Hotspurs.

Machi 7, 2021 imeingia kwenye kitabu cha rekodi ikiwa ni siku ya pili kwa Manchester City na Liverpool kufungwa katika siku moja baada ya Liverpool nao kufungwa 1-0 na Fulham. Mara ya mwisho timu hizi mbili kufungwa siku moja ilikuwa ni Machi 3, 2017 ambapo Liverpool ilifungwa na Manchester United huku Manchester City ikifungwa na Wigan Athletics.
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto