Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Pogba na Messi wakutana, nani kuhama timu ?

Jumamosi , 17th Nov , 2018

Kiungo wa Manchester United, Paul Pogba amekutana na nyota wa Barcelona Lionel Messi huko Dubai ambapo wawili hao walionekana kuwa na mazungumzo ya muda mrefu kitu ambacho kimezua mjadala kuwa huenda mmoja wao anamshawishi mwenzake kuhama timu.

Messi na Pogba wakiwa kwenye Mgahawa mmoja huko Dubai

Wawili hao walisikika wakiongea kwa lugha ya Kihispania huku moja ya maneno yaliyonaswa ni Pogba kumwambia Messi juu ya wimbo waliokuwa wakiimba kwenye timu ya taifa ya Ufaransa juu ya Ngolo Kante kumthibiti Messi kwenye mechi ya Kombe la dunia 2018 Urusi.

Hata hivyo Messi alimjibu Pogba kuwa kuhusu wimbo huo sio kweli ni uongo na utani tu huku akicheka kuonesha hana tatizo na hilo.

Wawili hao waliendelea na maongezi wakionekana kuwa na utulivu wa hali ya juu kitu amnacho kinaacha maswali mengi kuwa walikuwa wanaongea nini.

Wapo wanaosema huenda Paul Pogba alikuwa anamshawishi Messi kuhamia Manchester United lakini wapo wanaodhani Messi amemshawishi Pogba kukamilisha tetesi zilizopo kuwa huenda akajiunga na Barcelona.

Pogba na Messi wote hawapo kwenye majukumu ya timu za Taifa Pogba akiwa ni majeruhi huku Messi akiendelea na mapumziko yake ya muda mrefu ambayo amechukua kuwa nje ya timu ya taifa.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu