Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais wa Barcelona ashikiliwa na Polisi

Jumatatu , 1st Mar , 2021

Rais wa zamani wa Barcelona Jose Maria Bartomeu anashikiliwa na polisi nchini Hispania baada ya kuhusishwa na tuhuma ya kurubuni makampuni mbalimbali ya mitandao ya kijamii kuandaa kampeni maalum ya kuwashambulia watu na taasisi zilizokuwa zinapinga utawala wa Rais huyo.

Rais wa zamani wa Barcelona, Jose Maria Bartomeu.

Rais huyo ambaye alihudumu kwenye klabu hiyo kwa miaka 6 tokea mwaka 2014 hadi kujiuzuru kwake Oktoba mwaka jana, amekamatwa baada ya maafisa hao wa usalama kutembelea ofisi za klabu hiyo kwa ajili ya kusaka nyaraka muhimu zitakazo husika kwenye tuhuma hizo.

Baadhi ya makampuni yalitajwa kuhusika kwenye  tuhuma hizo ni NSG Social Science Ventures SL, Tantra Soft SA, Digital Side SA, Big Data Solutions SA and Futuric SA nah ii ni kwa mujibu wa jarida la michezo la kuaminika nchini Hispania la ‘Marca’.

Licha ya kushikiliwa na polisi, lakini Bartomeu alikana kuhusika kwenye tuhuma hizo mwezi Juni maka jana.

Hii ni mara ya pili polisi hao kutembelea ofisi za klabu ya Barcelona na kufanya ukaguzi kuhusiana na kesi hiyo, kwani mwishoni mwa mwaka jana Jaji wa Mahakama inayosimamia kesi hiyo aliamuru klabu ikaguliwe na leo wamekagua kwa mara ya pili.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava