Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais wa CAF kuzishuhudia Yanga na Simba, taifa

Alhamisi , 5th Mar , 2020

Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), Ahmad Ahmad anatarajiwa kushuhudia mchezo wa 'watani wa jadi' Yanga na Simba katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara, Machi 8, 2020.

Simba Vs Yanga

Kiongozi huyo atafanya ziara ya siku tatu hapa nchini, itakayoanza Machi 7 hadi Machi 10, ambapo katika ziara yake hiyo, Machi 8, atakuwepo kwenye mechi ya watani wa jadi Yanga Vs Simba akiwa ni mgeni rasmi.

Katika ziara hiyo, pia Ahmad Ahmad atakutana na viongozi mbalimbali wa serikali kuzungumzia maendeleo ya mpira hapa nchini kwa utaratibu utakaopangwa na Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo.

Ahmad Ahmad amekuwa na utaratibu wa kutembelea mashirikisho mbalimbali ya soka yaliyo chini yake, ambapo mara ya mwisho kuja hapa nchini ni Februari 22, 2018 alipoambatana na Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto