Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rasmi Yanga yapokea rasimu kutoka La Liga

Jumatano , 2nd Dec , 2020

Mwenyekiti wa Kamati ya Mabadiliko ya Yanga SC, Wakili Alex Mgongolwa, leo Desemba 2, 2020 amekabidhi rasmi kwa uongozi rasimu ya awali ya mfumo wa mabadiliko.

Akiongea kabla ya kukabidhi rasmi hiyo ambayo imeandaliwa kwa ushirikiano wa kamati hiyo na kamati ya La Liga pamoja na washauri mbalimbali wa ndani na nje ya Nchi, Mgongolwa amesema sasa rasmi klabu inarudi kwa wananchi.

''Tuna vipaumbele viwili kwenye rasmi yetu ya mfumo wa mabadiliko, kutakuwa na Menejimenti imara ili kuwa na taasisi bora lakini pia Wanachama wetu hatujawaacha nyuma, wao kitaalam wametambulika kama 'Fans Engagement' ambao wanatambulika rasmi na mfumo'' - Alex Mgongolwa.

Kwa upande wake Mjumbe wa Kamati ya Mabadiliko ya Yanga Mhandisi Hersi Said amesema, ''Leo Yanga SC tunaandika historia kwa kuleta mfumo wa uendeshaji wa klabu yetu kutoka kwenye Dunia ya kwanza kwenye soka kwa maana ya La Liga Hispania''.

Hersi ameongeza kuwa, ''Mfumo huu unakwenda kuirudisha klabu kwa wanachama na wao ndio watakuwa wamiliki halali wa klabu na baada ya mfumo kukamilika, niwahakikishie tu watu wote sio tu Tanzania bali Afrika nzima watakuja kwetu kujifunza''.

Kwa upande wa Mwenyekiti wa Yanga Dkt. Mshindo Msolla, amepokea rasimu hiyo na kuikabidhi kwa Mshauri wa Mabadiliko wa klabu hiyo Senzo Mbatha ili aipitie na mchakato uendelee.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava