Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ratiba ya mechi za fainali Sprite Bball Kings 2019

Jumatatu , 30th Sep , 2019

Michuano ya Sprite Bball Kings 2019 imefikia katika hatua ya mwisho ambapo hivi sasa wamebakia vigogo wawili watakaopambana kumpata mshindi.

Mchenga Bball Stars (kijani) na Tamaduni (njano)

Timu zilizoingia fainali ni mabingwa watetezi Mchenga Bball Stars na Tamaduni, baada ya kushinda mechi zao mbili mfululizo za nusu fainali, ambapo Mchenga ikiiondoa Flying Dribblers na Tamaduni ikiiondoa KG Dallas.

Jumla ya michezo mitano ya fainali itapigwa, mchezo wa kwanza (Best of 5, game 1) ukianza Ijumaa, Oktoba 4 katika Uwanja wa Don Bosco Oysterbay huku mchezo wa pili ukitarajia kupigwa (Best of 5, game 2) ukipigwa Jumapili Oktoba 6 katika Uwanja wa Ndani wa Taifa, michezo yote ikitarajia kuanza saa 11:00 jioni.

Mchezo wa tatu (Best of 5, game 3) unatarajiwa kupigwa Jumanne ya Oktoba 8 katika Uwanja wa Don Bosco Oysterbay, ambapo mchezo huo utapigwa kuanzia saa 10:00 jioni. Endapo timu moja itashinda mechi zote tatu, itakuwa bingwa wa michuano hiyo na endapo matokeo tofauti na hayo yatapatikana, ratiba ya mechi zilizobaki itapangwa.

Swali moja ambalo halina jibu mpaka sasa ni je, nani ataibuka na kitita cha Shilingi milioni 10?, ni jambo la kusubiri.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu