Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Red Bull wamtabiria Ricciardo

Jumamosi , 23rd Jun , 2018

Mkurugenzi wa timu ya magari ya Red Bull Christian Horner, ameeleza kuwa pamoja na kuwa mkataba wa dereva kinara wa timu hiyo Daniel Ricciardo, kuelekea mwisho lakini hawategemei kumuona akiondoka licha ya kuhitajiwa na timu zingine.

Dereva Daniel Ricciardo wa timu ya Red Bull

Bosi huyo wa Red Bull ameyasema hayo kufuatia mashabiki wengi wa timu hiyo, kuhoji kuhusu uongozi kushindwa kutoa tamko wakati mkataba wa mkali huyo wa magari unamalizika mwishoni mwa mwaka huu.

''Ricciardo amekuwa dereva mzuri na amefanikiwa akiwa na sisi hivyo tunatarajia kumuona akiwa na sisi kwa muda mrefu zaidi lakini hatuwezi kukataa kuwa kuna ofa nyingi amepokea kutoka McLaren na Renault na zaidi sasa kuna ofa mpya kutoka Mercedes na Ferrari, uamzi ni wake lakini tutashangaa akiondoka'', amesema Horner.

Katika mbio za Formula 1 msimu huu, Ricciardo anashika nafasi ya 4 akiwa na alama 84 huku pia akiwa amefanikiwa kuongoza kwenye mbio za Monaco Grand Prix pamoja na Chinese Grand Prix.

Formula 1 inaendelea kesho ambapo zitafanyika nchini Ufaransa zikifahamika kama 'French Grand Prix'. Baadae leo zitafanyika mbio za kuwania nafasi ya kupanga gari kesho wakati wa mbio hizo.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava