Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rekodi za Chelsea Kiboko FA Cup, yaipiku Liverpool

Jumamosi , 14th Mei , 2022

Mchezo wa fainali ya kombe la FA (FA Cup) nchini England unaozikutanisha Livepool na Chelsea leo jioni, mchezo unaochezwa katika dimba la Wembley Jiji London England ni fainali ya 141 ya michuano hii mikongwa kabisa Duniani.

Chelsea na Liverpool zinakutana kwenye fainali ya FA Cup kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2012

Liverpool hawajatwaa ubingwa wa michuano hii tangu mwaka 2006 takribani miaka 16 imepita, hivyo kocha Jurgen Klopp anakibarua cha kuhakikisha anawapa furaha mashabiki wa klabu hiyo kwa kushinda taji hili.

Hizi ni baadi ya rekodi za Liverpool na Chelsea kwenye michuano ya kombe la FA (FA Cup)

Hii ni fainali ya 16 ya michuano hii Chelsea wanacheza na wameshinda taji hili mara 8 katika fainali 15 walizocheza mpaka sasa mara ya mwisho wameshinda ubingwa wa michuano hii ilikuwa 2018. Liverpool fainali ya leo ni ya 15 wanacheza na ni mabingwa mara 7 mara ya mwisho kutwaa ubingwa wa michuano hii ilikuwa 2006.

Chelsea wamecheza fainali 4 za FA Cup katika misimu 5 iliyopita lakini wameshinda kombe hili mara 1 tu katika fainali hizo. Na msimu uliopita walifungwa na Leicester City katika mchezo wa fainali.

Mara ya mwisho Chelsea na Liverpool kukutana kwenye fainali ya FA Cup ilikuwa mwaka 2021. The Blues Cheslea walishinda kwa mabao 2-1.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu