Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rekodi mpya ya mashabiki yawekwa Ulaya

Alhamisi , 7th Jul , 2022

Mchezo wa ufunguzi wa michuano ya soka ya mataifa barani Ulaya ya wanawake katia ya timu ya taifa ya England na Austria umeweka rekodi ya kuhudhuriwa na watazamaji wengi katika historia ya michuano hiyo. Jumla ya mashabiki 68,871 wamehudhuria mchezo huu katika dimba la OLD Traford.

Mashabiki 68,871 wameutazama mchezo wa England na Austria katika dimba la Old Traford

Idadi hiyo ya watazamaji waliojitokeza katika Dimba la Old Traford ambao ni uwanja wa nyumbani wa Manchester United wamevunja rekodi ya idadi ya watazaji 41,301 walioshuhudia mchezo wa fainali ya Michuano ya Euro ya wanawake ya mwaka 2013 katia ya timu ya taifa ya Ujerumani na Norway uliochezwa katia dimaba la Friends Arena Stockholm Sweden, ambao ndio ulikuwa unashikiria rekodi ya kuhudhuriwa na watazaji wengi.

Kwa mujibu wa ripoti jumla ya tiketi 517,000 zimeuzwa kati ya tiketi 700,000 za michuano hii. Katika aridhi ya Uingereza bado rekodi ya watazamaji 80,203 walijitokeza kushuhudia mchezo wa fainali ya wanawake ya michuano ya Olimpiki mwaka 2012 kati ya timu ya taifa ya Marekani na Japan uliochezwa uwanja wa Wembley ndio mchezo ulioshuhudiwa na watazamaji wengi zaidi.

Na katika mchezo huu wenyeji wa michuano hii timu ya taifa ya England imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Austria kwenye mchezo wa kundi A. Bao la pekee kwenye mchezo huu limefungwa na Beth Mead dakika ya 16. Michuano hii inaendelea tena leo kwa mchezo mmoja wa kundi A ambapo Norway wataminyana na Ireland ya Kaskazini majira ya Saa 4 Usiku.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto