Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ripoti ya ajali iliyomuua Kobe Bryant imetoka

Jumamosi , 16th Mei , 2020

Ripoti ya post-mortem ya ajali ya Helikopta iliyoua watu 9 akiwemo nguli wa mchezo wa Kikapu Kobe Bryant na mwanaye wa kike Gianna, imetoka na imeeleza kuwa kukosekana kwa hewa, mwanga na mazingira magumu ilipoangukia ndio sababu ya wote kupoteza maisha.

Picha ya eneo la ajali pamoja na Kobe Bryant na binti yake Gianna.

Kitaalamu tukio hilo linaitwa (blunt force trauma).

Ripoti hiyo yenye kurasa 180, ilitolewa jana Mei 15, 2020 na Mamlaka za uchunguzi wa afya jijini Los Angeles (Los Angeles County Medical Examiner-Coroner) na imeeleza kuwa rubani ambaye alikuwa na miaka 50 hakuwa ametumia kilevi au madawa.

Ajali hiyo iliyotokea Januari 26 huko California ilichukua uhai wa watu 9 ambao ni Alyssa Altobelli, John Altobelli, Keri Altobelli, Sarah Chester, Payton Chester, Christina Mauser, Kobe Bryant, Gianna Bryant na rubani Ara Zobayan.

Pia ripoti imeeleza kuwa rubani Mr Zobayan alikuwa kwenye afya na hali imara tu na ndege ilikuwa bado na uwezo wa kupaa masaa 8,200.

Aidha changamoto nyingine ambayo imeelezwa kusababisha ajali hiyo ni mawingu pamoja na mvua nyepesi (fog) ambazo zilisababisha zaidi ya simu 911 zilizopigwa kati ya rubani na kituo cha kusimamia mwenendo wa ndege.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu