Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Robo fainali Copa Coca Cola kufanyika Jumatano

Jumanne , 16th Dec , 2014

Michuano ya vijana chini ya miaka 15 Coca Cola Kitaifa imekamilisha mzunguko wake wa pili leo katika viwanja vya Filbert Bayi, Karume na Tanganyika Parkers Kawe.

Akizungumzas na East Africa Radio, Mkurugenzi wa michezo wa Shirikisho la Soka nchini TFF, Boniface Wambura amesema timu zitapumzika kwa siku ya kesho ambapo Jumatano zitacheza hatua ya Robo fainali huku Fainali ikitarajiwa kuchezwa Ijumaa ya wiki hii katika Uwanja wa Karume jijini Dar es salaam.

Wambura amesema lengo hasa la michuano hiyo sio kutafuta mshindi pekee kwa vijana hao ila lengo kubwa hasa ni kutoa fursa kwa wachezaji vijana kuonesha uwezo wao wa kucheza mpira na kuonesha vipaji ili wengine waweze kuviona na kuviendeleza.

Wambura amesema michuano hiyo imetawaliwa na kanuni zinazotakiwa kufuatwa ili kuweza kuboresha michuano hiyo, ikiwemo suala la umri ambapo kuna mikoa miwili ya Mbeya na Lindi, imeondolewa katika michuano hiyo kutokana na kushindwa kuthibitisha kama ni kweli wana umri chini ya miaka 15 au wamezidi.

Wambura amesema kanuni za mashindano zinahitaji kila timu iwe na wachezaji 16 hivyo kama wachezaji wana kasoro na timu ikawa na wachezaji pungufu, timu hiyo haitaruhusiwa kushiriki mashindano hayo.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine