Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ronaldo agoma tena

Jumatano , 22nd Nov , 2017

Mchezaji wa Real Madrid Cristiano Ronaldo amekataa kuzungumza na vyombo vya habari baada ya kufanikiwa kufunga mabao mawili kwenye ushindi wa mabao 6-0 ilioupata timu yake dhidi ya APOEL kwenye Ligi ya Mabingwa.

Ronaldo alipofuatwa na wanahabari baada ya mchezo huo alikataa kuongea hadi pale walipomganda zaidi lakini alisisitiza kuwa hawezi kuongea chochote na hana raha ya kufanya mahojiano na wanahabari.

“Sihitaji kuongea, sihitaji kuhojiwa juu ya lolote, nimechoshwa na nafadhaishwa na namna ambavyo mnabadilisha maneno, leo naweza kuongea jambo moja kisha mkaandika tofauti kabisa na nilichosema”, amesema Ronaldo mbele ya wanahabari waliokuwa wakimzonga kwenye uwanja wa GSP.

Hatua ya Ronaldo kugoma kuongea na wanahabari ni matokeo ya habari zilizoripotiwa hivi karibuni kuwa Ronaldo ana ugomvi na nahdha wake Sergio Ramos baada ya Ronaldo kukaririwa akisema Real Madrid haifanyi vizuri kwenye La Liga kwasababu ina wachezaji wengi ambao si wazoefu baada ya kuwauza Alvaro Morata na James Rodriquez kitu ambacho Ramos alikipinga kwa nguvu.

Baada ya kufunga mabao mawili kwenye ushindi wa mabao 6-0 sasa Ronaldo ameifungia Real Madrid mabao 98 kwenye mechi 96, akimzidi mshindani wake Lionel Messi ambaye ameifungia Barcelona mabao 97 kwenye mechi 119.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA