Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sababu ya Yondani kutoichezea Yanga leo

Jumamosi , 15th Dec , 2018

Nahodha wa Yanga Kelvin Yondani, leo atakuwa jukwaani akiitazama timu yake ya Yanga ikicheza na Ruvu Shooting kwenye ligi kuu soka Tanzania bara kwenye uwanja wa taifa.

Kelvin Yondani

Beki huyo mkongwe nchini anatumikia adhabu ya kuwa na kadi tatu za njano hivyo atalazimika kukosa mchezo huo, ambao unaweza kuwapa nafasi Yanga ya kuendelea kutanua wigo wa alama na wapinzani wao wa karibu Azam FC na Simba.

Mbali na Yondani mchezaji mwingine ambaye kocha Mwinyi Zahera amethibitisha kuwa hayuko fiti kwaajili ya mchezo huo ni Raphael Daudi ambaye aliumia kwenye mchezo dhidi ya Biashara United.

Kocha huyo pia amebainisha kuwa mshambuliaji Ibrahim Ajibu yupo fiti kwa mchezo baada ya kurejea kambini Desemba 13 akitokea kwenye msiba. 

Kiungo kutoka Zanzibar Feisal Salum naye ameungana na timu juzi akitokea kwao, ambako alikwenda kwenye msiba wa dada yake, hivyo atakuwa sehemu ya mchezo dhidi ya Ruvu Shooting.

Yanga wanaongoza Ligi Kuu Bara wakiwa na pointi 41, wakifuatiwa na Azam FC yenye pointi 40 na Simba 27.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava