Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sababu ya Zahera kubaki nchini yabainika

Jumapili , 17th Mar , 2019

Tetesi zinaeleza kuwa kocha Mkuu wa klabu ya Yanga, Mwinyi Zahera ataondoka hii leo na ndege moja na wachezaji wa AS Vita Club ili kuwahi katika majukumu ya timu ya taifa ya Congo ambayo tayari iko kambini tangu wiki iliyopita .

Kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera

Zahera alihitajika kujiunga katika kambi hiyo Machi 13 lakini alibaki nchini kwa maagizo ya bosi wake, Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya DRC, Florent Ibenge ambaye pia ni kocha mkuu wa AS Vita. 

Mwinyi Zahera alibaki nchini kuufatilia mchezo wa AS Vita na Simba SC kwakuwa AS Vita ina zaidi ya wachezaji watano wanaounda kikosi cha kwanza cha DR Congo.

Kabla ya mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi kati ya Simba na AS vita Club, jana Machi 16, mashabiki wa Simba pamoja na Afisa Habari wa klabu hiyo, Haji Manara walionekana kuchukizwa na kitendo walichokiita cha usaliti ambacho kocha huyo anafanya, kwa kuahirisha safari ya kwenda Congo na kuamua kubaki na AS Vita hapa Dar es salaam.

Hali hiyo ilileta sintofahamu kwa mashabiki wa Simba ambao walikuwa wakimhofu Mwinyi Zahera kuwa kutokana na kuwafahamu vizuri Simba, angeweza kumpa bosi wake, Florent Ibenge mbinu mbalimbali za Simba.

Bonyeza hapa chini kutazama zaidi.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine