Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sababu za MO Dewji kupewa Simba

Jumatano , 16th Mei , 2018

Klabu ya soka ya Simba kupitia kwa Mwanasheria wake Evodius Mtawala, leo imeweka wazi sababu za mshindi wa zabuni ya kuwekeza kwenye klabu hiyo Mohamed Dewji, kupewa asilimia 49 ya hisa tofauti na 51 kama alivyotaka yeye.

Mtawala ameyasema hayo ikiwa ni siku chache zimebaki kuelekea kwenye mkutano mkuu wa klabu hiyo Mei 20 ambapo wanachama wataamua iwapo wanapitisha katiba mpya yenye kuruhusu mfumo wa hisa au la.

''Kwanza wanachama wanatakiwa kufahamu kuwa tayari  Mohammed ‘Mo’ Dewji amekubali kununua asilimia 49 ya hisa za klabu ya Simba SC na sio 51 kama aliyoomba awali na hii ni kwasababu ya kanuni na maelekezo ya Serikali'', amesema.

Mwanasheria huyo ambaye amewahi kuwa katibu wa Simba ameongeza kuwa wao kama klabu walikuwa tayari kuuza asilimia 50 mpaka 51 kwa bilioni 20 alizotoa Mo Dewji lakini baadae serikali iliagiza klabu hiyo isiuze zaidi ya asilimia 49 kwa mtu mmoja.

Kwa upande wa wanachama, Mtawala amesema watamiliki hisa ndani ya kampuni ya 'Simba Sports Club Company Limited' kupitia kwa kampuni ya wanachama itakayoitwa 'Simba Sports Club Holding Company Limited' chini ya baraza la wadhamini.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji