Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Samatta amtabiria makubwa Msuva

Jumamosi , 24th Mar , 2018

Nyota wa Tanzania Mbwana Samatta anayekipiga kwenye klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji amesema anaimani kubwa kwamba Simon Msuva anayechezea klabu ya Difaa El Jadidi atafanya vizuri katika ligi ya Mabingwa Afrika kutokana na uzoefu aliokuwa nao kwa sasa.

Samatta ametoa kauli hiyo kufuatia hatua ya makundi ya mashindano ya Mabingwa Afrika kupangwa ambapo timu anayochezea Winga Simon Msuva kuangukia kundi B ikiwa pamoja na timu ya TP Mazembe, Mouloudia Club D’alger pamoja na ES Setifienne.

"Nimeangalia makundi yote lakini inaonekana kundi lao ndio lenye uzito na kuna mtu nilimwambia hili kundi ambalo wamepangwa kina Msuva sio jepesi lakini kwa sasa Msuva ana uzoefu wa pande zote mbili kwa sababu anacheza katika nchi ya kiarabu kwa hiyo amezoea hali ya soka la kiarabu. Tayari ameshacheza na  AS Vita ya DRC Congo kabla ya hawajaingia kwenye hatua ya makundi na ameshacheza sana Afrika kwa hiyo anafahamu nini kinachotakiwa katika soka la Afrika", amesema Samatta.

Pamoja na hayo, Mbwana Samatta ameendelea kwa kusema "naimani atafanya vizuri kwa sababu kama aliweza kufanya vizuri kwenye mechi ya AS Vita na TP Mazembe basi hata sasa atafanya zaidi pia na kwa timu yake ninavyoiona na mwenendo wao wanaweza kuvuka kwenye hilo kundi".

Kwa upande mwingine, Samatta amesema anatumaini kubwa juu ya Simon Msuva kufanya vizuri katika michuano hiyo kwasababu kwa sasa ameweza kuimudu hali ya hewa ya ubaridi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava