Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

SIMBA, MTIBWA kuhitimisha Kombe la Mapinduzi leo

Jumanne , 13th Jan , 2015

MICHUANO ya kombe la mapinduzi inatarajiwa kufika tamati leo kwa timu za Simba na Mtibwa kucheza mchezo wa fainali itakayochezwa uwanja wa Amaan, visiwani Zanzibar.

Hii itakuwa mara ya pili kwa Timu hizi kukutana kwenye Mashindano haya kwani walikuwa Kundi moja ambapo katika mchezo wa makundi Mtibwa Sugar iliifunga Simba 1-0.

Mchezo huu una umuhimu kwa pande zote Simba wakihitaji kulipa kisasi cha kuchapwa katika mchezo wa kwanza na kumpa kikombe cha kwanza kocha wao mpya Goran Kopunovic.

Kwa upande wa Mtibwa wanahitaji kushinda mchezo huo ili kuendeleza ubabe wao kwa kuwafunga Simba na kutwaa ubigwa wa kombe la Mapinduzi .

Michuano hii maalumu kwa ajili ya kumbukumbu za mapinduzi ya Zanzibar ilianza Januari Mosi kwa kushirikisha jumla ya timu 12.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji