Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Simba ni rahisi sana kuwapiga, subirini" - Zahera

Jumapili , 17th Feb , 2019

Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa licha ya timu yake kufungwa na watani wao Simba, itawapiga msimu ujao wakiwa wamejipanga kwakuwa Simba inacheza mpira wa kawaida.

Kocha Mwinyi Zahera (kushoto) na wachezaji wa Simba na Yanga (kulia)

Akizungumza baada ya mchezo huo uliopigwa katika uwanja wa taifa na kushuhudia Yanga ikifungwa bao 1-0, Zahera amesema kuwa Simba inacheza mpira wa kawaida sana na wao wakijipanga msimu ujao watawashangaza wapinzani wao.

"Tatizo lililotokea katika mchezo wa leo ni wachezaji wetu kukosa ubunifu, leo (jana) namna Simba inacheza ni rahisi sana kuwapiga lakini mwaka ujao timu nitakuwa nayo kwasababu wachezaji nilionao sasa hivi sio mimi niliyewachagua", amesema Zahera.

Pamoja na hayo, kocha Zahera amewapongeza Simba kwa mchezo huo na akikiri kuwa kiwango cha mchezaji mmoja mmoja cha wachezaji wake na wa Simba ni tofauti.

Simba imeshawasili mkoani Arusha tayari kwa maandalizi ya mchezo ujao wa ligi dhidi ya African Lyon utakaopigwa Februari 19 katika uwanja  wa Sheikh Amri Abeid, huku Yanga ikitarajia kusafiri hadi Jijini Mwanza kuvaana na Mbao FC.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine