Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba SC kuifata de Agosto, Jumamosi

Jumanne , 4th Oct , 2022

Klabu ya Simba itaondoka nchini Oktoba 08, 2022 kueleka nchini Angalo ambako itacheza mchezo wa klabu bingwa Afrika dhidi ya wenyeji wao Primeiro de Agosto, mchezo wa mkondo wa kwanza wa raundi ya kwanza utakaochezwa Oktoba 09,2022. Amethibitisha Afisa habari wa klabu hiyo Ahmed Ally.

Kikosi cha Simba kitaondoka nchini Jumamos kwenda Angola kucheza mchezo wa klabu bingwa dhidi ya Primeiro de Agosto

Kwa mujibu wa ratiba yao ya maandalizi Ahmedi amesema kikosi kinaingia kambi leo Jumanne tayari kwa maandalizi ya mchezo dhidi ya de Agosto, na ameweka wazi kuwa kikosi kitaondoka nchini siku ya Jumamosi Oktoba 8 siku moja kabla ya mchezo, na baada ya mchezo kumalizika siku ya jumapili wataanza safari ya kurejea nyumbani.

Wakati kikosi hicho kikiwa kinaanza maandalizi hayo wataendelea kuwakosa wachezaji watatu Jimmyson Mwanuke, Shomari Kapombe na Peter Banda hawa wote wana majeruhi. Simba wanaelekea kwenye mchezo huu wakiwa wametoka kushinda mchezo wa Ligi kuu NBC Premier League dhidi ya Dodoma Jiji kwa mabao 3-0 na sasa wanaongoza Ligi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava