Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba SC kuifata Kaizer Chiefs kesho

Jumatatu , 10th Mei , 2021

Klabu ya Simba SC itaondoka nchini kesho Mei 11, 2021 kuelekea Afrika ya Kusini, kikosi hicho kitacheza mchezo wa klabu bingwa Afrika hatua ya robo fainali dhidi ya Kaizer Chiefs Mei 15, 2021.

Kikosi cha Simba SC

Taarifa iliyotolewa na mabingwa hao wa Tanzania bara imeeleza,

''Kikosi cha mabingwa wa nchi kitaondoka alfajiri ya jumanne Mei 11, 2021 (saa 9:45) kuelekea Afrika Kusini kupitia Kenya tayari kwa mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs utakaopigwa siku ya Jumamosi Mei 15, 2021''

Simba SC ilitinga hatua robo fainali baada ya kumaliza vinara wa kundi A wakiwa na alama 13 baada ya kushinda michezo 4 wametoka sare mchezo mmoja na walifungwa mchezo mmoja, Wekundu wa msimbazi walimaliza vinara wa kundi hilo mbele ya mabingwa watetezi Al Ahly ya Misri, AS Vital na AL Merrikh.

Na wanaanzia ugenini kutika mchezo huu kutokana na faida za kikanunu za kumaliza vinara wa kundi, kwa mujibu wa kanuni za CAF timu zinazomaliza kama vinara wa makundi zinapewa faida ya kuanzia ugenini na kumalizia nyumbani kwenye hatua ya robo fainali.

HABARI ZAIDI

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030