Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba yaiadhibu Yanga, Yanga sasa kusubiri faini

Jumamosi , 16th Feb , 2019

Mabingwa watetezi wa Ligi kuu soka Tanzania Bara klabu ya soka ya Simba imeibuka na ushindi wa bao 1-0, dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa watani wa jadi uliopigwa leo Februari 16 kwenye dimba la taifa Dar es salaam.

Meddie Kagere akijaribu kumiliki mpira mbele ya Vicent Andrew

Simba imebeba pointi zote tatu kupitia bao la Meddie Kagere ambaye alifunga dakika ya 72 akipokea pasi safi kutoka kwa nahodha John Bocco na kumalizia kwa kichwa.

Baada ya ushindi wa leo Yanga imeendelea kubaki kileleni mwa msimamo wa ligi, ikiwa na pointi 58 wakati Simba wanajivuta kutoka nafasi ya 5 hadi ya 3 wakiwa na pointi 39.

Tayari Yanga imeshacheza mechi 24 huku Simba wakicheza mchezo wao wa 16 msimu huu katika ligi ambayo ipo kwenye mzunguko wa 27 kwaa baadhi ya timu.

Kwa upande mwingine klabu ya Yanga ambayo imetoka kuadhibiwa na TFF kwa kuingia uwanjani kwa kutumia mlango usio rasmi kwenye mchezo dhidi ya Coastal Union, itakuwa inasubiri adhabu hiyo tena baada ya leo kuingia tena uwanja wa taifa kwa kutumia mlango usio rasmi.

Katika faini iliyopita Yanga ilitozwa kiasi cha shilingi laki mbili (200,000/=).
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto