Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba yarejea ligi kuu, hii hapa ratiba ya viporo

Jumatatu , 15th Apr , 2019

Baada ya kuondolewa katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika, klabu ya Simba imerejea nchini ikiwa na kazi moja ya kupambana katika ligi kuu.

Simba

Simba ambayo imekuwa na viporo takribani 10 hivi sasa , imereja nchini baada ya kutolewa na TP Mazembe katika robo fainali ya Klabu Bingwa Afrika baada ya kukubali kichapo cha mabao 4-1 mjini Lubumbashi.

Katika msimamo wa ligi, Simba inakamata nafasi ya tatu ikiwa na jumla ya pointi 57 baada ya kushuka dimbani michezo 22, ikiwa nyuma michezo 9 dhidi ya Yanga inayoongoza ligi kwa sasa baada ya kucheza mechi 31.

Ratiba ya Simba inaanza Jumatano hii, April 17, ambapo itasafiri hadi jijini Tanga kuvaana na Coastal Union kabla ya kusafiri hadi mkoani Kagera kucheza na Kagera Sugar, mchezo utakaopigwa April 20.

April 23, Simba itasafiri hadi jijini Mwanza kucheza na Alliance FC kisha April 26 kucheza na KMC. Tarehe 28 April itasafiri hadi mkoani Mara kucheza na Biashara United kabla ya Mei mosi kucheza na Tanzania Prisons jijini Mbeya. Ratiba hiyo ya viporo itamalizika Mei 5 kwa kucheza na Mbeya City huko huko jijini Mbeya.
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto